JENGO la Mahkama kuu ya Pemba, likiwa katika
monekano mpya baada ya kumaliza kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu, jengo hilo
linasubiri fanicha mpya, ili liweze kuhamiwa na kurudi kufanya kazi zake za
kama zamani.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
MWANAMKE MMOJA AFARIKI DUNIA AJALI YA ROLI MBEZI KWA MSUGULI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya
usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke ...
8 hours ago
0 Comments