Manispa ya Zanzibar kupitia Idara yake ya Michirizi kwa kukemea tabia ya Wananchi kutumia kunyesha kwa mvua na kutupa taka taka katika misingi ya maji huleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo kwa kujaa kwa maji kutokana na kuziba misingi hiyo kama inavyoonekana katika picha hii ni sehemu ya mtoni msingi huu ukiwa umezidiwa na mataka na kutuwa sehemu hiyo.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
3 hours ago
0 Comments