Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
I&M YAPANUA UWEKEZAJI SEKTA YA FEDHA, YAFUNGUA TAWI JIPYA DAR
-
Benki ya I&M imeendelea kupanua uwekezaji wake katika sekta ya fedha baada
ya kufungua rasmi tawi lake la tisa katika eneo la Palm Village, Mikocheni
jijin...
1 hour ago



0 Comments