Afisa wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Mr.Marko Msambazi akitowa elimu ya Kipindupindu kwa Wajumbe wa Baraza akiwasilisha Mada hiyo kuhusiana na matumizi mabaya ya maji kwa wananchi,elimu hiyo imetolewa kwa kufikisha kwa wananchi wa majimbo yao kuzingatia matumizi ya maji safi na salama kwa jamii semina hiyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar.
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO, SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI
WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limefanya kikao maalum na uongozi wa Shirika
la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi ambalo linatoa huduma za ulinzi
katika sok...
39 minutes ago



0 Comments