Mfanyakazi wa Idara yaUtunzaji Barabara akiwa katika harakati ya ukarabati wa barabara ya darajani Unguja baada ya kuathirika na mvua za masika zilizokuwa zikinyesha mwezi uliopiti na kusababisha uharibifu wa miundombinu hiyo ya barabara kuharibika kwa kiasi kikubwa.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
8 hours ago


0 Comments