Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea mabanda ya maonesho ya bidhaa za asili za zamani wakati wa uzinduzi wa Tamasha la 22 la Mzanzibar lililofanyika katika viwanja vya Mnara wa Mapinduzi michezani Zanzibar.
USISHANGAE MATAA MJINI, TEMBEA UONE MCHANGA UNAOHAMA (SHIFTING SANDS)
NGORONGORO.
-
Waswahili husema tembea uone na Mwenda bure si mkaa bure huenda ataokota.
Ukitaka kujaribu kuuokota mchanga unaohama njoo jirani na bonde la Olduvai
ndani ...
3 minutes ago
0 Comments