Mratibu wa Elimu Skuli ya Mwanakwerekwe D Unguja Hassan Haji Hassan akiwazawadia Wanafunzi wa Skuli hiyo ya Msingi Mwanakwerekwe D Unguja kwa kufauli Michupuo na Vipaji Maalum katika mikutano yao ya Taifa iliofanyika mwaka jana, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli hiyo Mwanakwerekwe Zanzibar.
DMDP II YALETA MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU MANISPAA YA TEMEKE
-
Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II)
unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Kilomita 51.2 kwa kiwango cha
lami na z...
18 minutes ago
0 Comments