Mkuu wa Chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi Yussuf Haji Makame akitoa elimu kwa waandishi wa habari ( hawapo pichani) namna saratani hiyo inavyoathiri katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Mwandishi wa TIFU TV akiuliza masuala katika Mafunzo hayo.
Mfanyakazi kutoka Wizara ya Afya Zanzibar Abdulrahman Muhamed Saleh akijibu masuala ya waandishi wa habari (Picha na Abdalla Omar Habari – Maelezo).
TANZANIA NA CHUO KIKUU CHA LIMERICK WASAINI MAKUBALIANO YA UFADHILI WA
SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED
-
SERIKALI ya Tanzania na Chuo Kikuu cha Limerick cha nchini Ireland
wamesaini hati ya makubaliano ya utekelezaji wa ufadhili wa Samia
Scholarship Extended, ...
1 hour ago
0 Comments