Mkuu wa Chanjo ya Saratani ya mlango wa kizazi Yussuf Haji Makame akitoa elimu kwa waandishi wa habari ( hawapo pichani) namna saratani hiyo inavyoathiri katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa hospitali ya Kidongo Chekundu Zanzibar.
Mwandishi wa TIFU TV akiuliza masuala katika Mafunzo hayo.
Mfanyakazi kutoka Wizara ya Afya Zanzibar Abdulrahman Muhamed Saleh akijibu masuala ya waandishi wa habari (Picha na Abdalla Omar Habari – Maelezo).
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
6 hours ago
0 Comments