Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa za Kwahani Jijini Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo zinazojengwa na Kampuni ya Estim ya Tanzania, kama inavyoonekana pichani nyumba maendeleo yake yakienda kwa kwasi katika hatua ya kwanza kwa nyumba block tano kama inavyoonekana pichani.
BoT YADUMISHA RIBA YA BENKI KUU ASILIMIA 5.75 KWA ROBO YA KWANZA 2026
-
Kamati ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kuendelea na
kiwango cha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate – CBR) cha asilimia 5.75
kwa r...
18 minutes ago
0 Comments