LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery school iliyopo Kichungwani wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
1 hour ago

0 Comments