LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutangaza kufunguliwa kwa Skuli na Shughuli mbali mbali za kijamii kuruhusiwa, lakini bado baadhi ya skuli zinaendelea kuchukuwa tahadhari ya ugonjwa huo, pichani wanafunzi wa skuli ya Star Nursery school iliyopo Kichungwani wakinawa mikono kabla ya kuingia skuli humo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
ORYX GAS YATOA MKONO WA EID KWA WATOTO WANAOLELEWA NEW FARAJA ORPHANAGE
-
Na Mwandishi Wetu
KITUO cha kulea watoto yatima cha New Faraja Orphanage kilichopo Mburahati
jijini Dar es Salaam kimepokea msaada mkubwa wa vyakula mbalim...
1 hour ago

0 Comments