Meneja wa NIC Insurance Kanda ya Zanzibar Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha taslim golokipa wa Timu ya Chipikizi United Suleiman Khamis kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Mlandege, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 0-0 Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar leo 4-1-2024.
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
8 hours ago


0 Comments