Meneja wa NIC Insurance Kanda ya Zanzibar Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha taslim golokipa wa Timu ya Chipikizi United Suleiman Khamis kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Timu ya Mlandege, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya 0-0 Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar leo 4-1-2024.
FCC: Wazalishaji wa Vifaa vya Ujenzi Walinde Haki za Walaji
-
Tume ya Ushindani (FCC) imesema wazalishaji wa vifaa vya ujenzi wana wajibu
wa kumlinda mlaji kwa kuhakikisha wanazalisha na kuuza bidhaa zenye ubora
un...
24 minutes ago


0 Comments