MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapugia mkono na kuwasalimia Vijana wa
UVCCM alipowasili katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa ajili ya
uzinduzi wa Tamasha la Tumazima Zote Tunawasha Kijani, lililofanyika leo
10-8-2024 katika uwanja huo.
WAFANYABIASHARA WA MAZIWA WATAKIWA KUJISAJILI TDB
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
WAFANYABIASHARA wanaojihusisha na uuzaji wa maziwa nchini wametakiwa
kujisajili katika Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) ili ku...
28 minutes ago













0 Comments