MSONGAMANO wa Magari katika eneo la barabara Benki ya NBC Shangani imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo inakuwa na msongamano mkubwa wakati wa upakizi wa magari katika bandari ya Forodhani na kusababisha usumbufu katika eneo hilo.
TUNAKUJA TENA KUOMBA RIDHAA KWA KUJIAMINI NA UJASIRI MKUBWA- DK SAMIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Zanzibar
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema kuelekea Uchaguzi Mkuu Okto...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment