MSONGAMANO wa Magari katika eneo la barabara Benki ya NBC Shangani imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo inakuwa na msongamano mkubwa wakati wa upakizi wa magari katika bandari ya Forodhani na kusababisha usumbufu katika eneo hilo.
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment