MSONGAMANO wa Magari katika eneo la barabara Benki ya NBC Shangani imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo inakuwa na msongamano mkubwa wakati wa upakizi wa magari katika bandari ya Forodhani na kusababisha usumbufu katika eneo hilo.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment