MSONGAMANO wa Magari katika eneo la barabara Benki ya NBC Shangani imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo inakuwa na msongamano mkubwa wakati wa upakizi wa magari katika bandari ya Forodhani na kusababisha usumbufu katika eneo hilo.
TET NA TAKUKURU KUENDELEZA USHIRKIANO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya Rushwa nchini
kupit...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment