BARABARA ya kwenda Shangani ikiwa na tangazo la kutoruhusu magari ya mizigo yanayozidi tani mbili kuingia katika Mji Mkongwe kupitia barabara hii kama linavyosomeka bango hilo lililowekwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe Zanzibar.
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
1 hour ago
0 Comments