BARABARA ya kwenda Shangani ikiwa na tangazo la kutoruhusu magari ya mizigo yanayozidi tani mbili kuingia katika Mji Mkongwe kupitia barabara hii kama linavyosomeka bango hilo lililowekwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe Zanzibar.
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
4 hours ago
0 Comments