Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimuapisha Fatma Gharib Bilal,kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana,Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu
Mtia nia ya Ubunge Kigamboni Aweka Mahitaji ya Wanakigamboni
-
Na Mwandishi Wetu
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kibada
Wilaya ya Kigamboni Dkt.Nazar Kirama amerudisha fomu ya kuomba ...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment