Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimuapisha Fatma Gharib Bilal,kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana,Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu
uzinduzi wa Muongozo wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Kwa Vijana walio nje ya
Skuli Zanzibar
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Ndugu Fatma
Hamad Rajab amezitaka Taasisi na Wadau mbali mbali wa Maendeleo ya Vijana
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment