Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimuapisha Fatma Gharib Bilal,kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana,Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu
Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji
Nchini
-
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki,
amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za
mawasili...
3 hours ago
0 Comments