Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimuapisha Fatma Gharib Bilal,kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana,Wanawake na Watoto,hafla hiyo ilifanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu
Wahitimu wa Furahika wahimiza kufuata maadili katika kazi
-
NA MWANDISHI WETU
WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika wametakiwa kuzingatia
maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya...
1 hour ago
0 Comments