MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
12 minutes ago
Hi video si nzuri wa utamaduni wetu na pia haioneshi hali halisi ya visiwa vyetu. Wazungu kila wakati wanapenda kuona habari ambazo sio za kuvutia kuhusu sisi. Bi Kidude na vijana wake wa "nyago" wametuchafulia jina letu kwahiyo mtu akiona hii video ataona kuwa wanawake wa zanzibar hujifungia ndanni na kunywa bombe. Jee mkuu hili ndilo ulilolitaka tuliangalie? Kwa kweli inasikitisha sana kutumia blog yako kwa kuwasaidia watu wanaotaka kutuchafulia jina la nchi yetu, utamaduni wake na watu wake.
ReplyDelete