Habari za Punde

Jengo la Wabeba Vitu Vizito Langara.

Jengo la Klabu ya Wainua Vitu Vizito lilioko Mnazi Mmoja Zanzibar lafanyiwa ukarabati mkubwa na kuwa katika hali ya kuonesha hili ndilo jengo la mchezo huo ambalo hapo mwanzo lilikuwa na hadhi ya chini na kuwakatisha taamaa wachezaji wa mchezo huo hapa Zanzibar.Taasisi husika ilofanya Ukarabari huo inabidi kuchukuwa hatua za makusudi kuweka vifaa vya mazoezi vyenye kiwango cha kimataifa, viendane na hadhi ya jengo hilo lilivyo hivi sasa. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.