Jengo la Klabu ya Wainua Vitu Vizito lilioko Mnazi Mmoja Zanzibar lafanyiwa ukarabati mkubwa na kuwa katika hali ya kuonesha hili ndilo jengo la mchezo huo ambalo hapo mwanzo lilikuwa na hadhi ya chini na kuwakatisha taamaa wachezaji wa mchezo huo hapa Zanzibar.Taasisi husika ilofanya Ukarabari huo inabidi kuchukuwa hatua za makusudi kuweka vifaa vya mazoezi vyenye kiwango cha kimataifa, viendane na hadhi ya jengo hilo lilivyo hivi sasa.
DKT AKWILAPO ATAKA MAENEO YA UMMA KULINDWA
-
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
akizungumza na uongozi wa mkoa wa Mtwara wakati wa ziara yake mkoani humo
tarehe ...
1 hour ago
0 Comments