Wafanyakazi wa Michirizi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiweka mabomba ya maji machafu katika barabara ya Michezani eneo la kiswandui, ili kuimarisha miundombinu ya mitaro katika maeneo ya mjini kuna sehemu hujaa maji wakati wa mvua, eneo hili ambalo huwa linajaa maji ya wakati wa kunyesha mvua na kuwa usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment