Wafanyakazi wa Michirizi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiweka mabomba ya maji machafu katika barabara ya Michezani eneo la kiswandui, ili kuimarisha miundombinu ya mitaro katika maeneo ya mjini kuna sehemu hujaa maji wakati wa mvua, eneo hili ambalo huwa linajaa maji ya wakati wa kunyesha mvua na kuwa usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment