Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Pemba wakiitikia Wito wa Serekali kutunza Mazingira ya Maeneo yao wakipanda miti ya aina ya mikoko ili kutunza mazingira ya eneo hilo ili kurusuru ardi hiyo kukumbwa na mmomonyoko wa ardhi katika eneo hilo.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment