Wananchi wa Wilaya ya Micheweni Pemba wakiitikia Wito wa Serekali kutunza Mazingira ya Maeneo yao wakipanda miti ya aina ya mikoko ili kutunza mazingira ya eneo hilo ili kurusuru ardi hiyo kukumbwa na mmomonyoko wa ardhi katika eneo hilo.
HWPL Yakuza Uelewa wa Kidini Kupitia Vikao vya Awali vya IRPA Tanzania
-
**Mapitio ya Umuhimu wa Kiutendaji kwa Kuzingatia Maoni ya Jamii za Ndani*
HWPL ilifanya vikao vya maelezo kuhusu IRPA (vikao vya awali vya RPA)
kuanzia ...
1 day ago
0 Comments