Wanafunzi wa Darasa la Mafunzo ya Wajasiriamali katika Jimbo la Kikwajuni wakiwa na Mwalimu wao baada ya kumaliza mafunzo ya kuwawezesha kujiajiri na kukabidhiwa Vyeti vyao vya kihitimu mafunzo hayo ya awamu wa nne kwa Vijana wa Jimbo hilo, Vyeti hivyo wamekabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Hamad Masauni,Mafunzo hayo hutolewa na Taasisi ya (TAYI) yakifandhiliwa na mbunge huyo ili kuwawezesha Vijana wa Jimbo lake kujikomboa na kujiajiri katika sekta ya Ujasiriamali.
Takwimu Sahihi Zitokane na Vyanzo Vinavyotambulika Kisheria – Prof. Ame
-
Na Mwandishi wetu
Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Chuo Cha
Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri...
50 minutes ago
Duuu...wakhti na pita wallah! huyu mwalimu ni pacha wangu wa longi..pale VIKO' SCHOOL 1990's.
ReplyDelete