Wanafunzi wa Darasa la Mafunzo ya Wajasiriamali katika Jimbo la Kikwajuni wakiwa na Mwalimu wao baada ya kumaliza mafunzo ya kuwawezesha kujiajiri na kukabidhiwa Vyeti vyao vya kihitimu mafunzo hayo ya awamu wa nne kwa Vijana wa Jimbo hilo, Vyeti hivyo wamekabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Hamad Masauni,Mafunzo hayo hutolewa na Taasisi ya (TAYI) yakifandhiliwa na mbunge huyo ili kuwawezesha Vijana wa Jimbo lake kujikomboa na kujiajiri katika sekta ya Ujasiriamali.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
1 hour ago
Duuu...wakhti na pita wallah! huyu mwalimu ni pacha wangu wa longi..pale VIKO' SCHOOL 1990's.
ReplyDelete