Mandhari ya Mji wa Zanzibar pichani ukionekana kwa umbali wa uju ikionesha mabadiliko ya majengo yake ya kileo baada ya mabadiliko ya miundombinu ya Ujenzi wa kileo kwa kutumia mabati katika uekezaji wake kuondokana na matumizi ya makuti hapo nyuma miaka ya sitni iliopita
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Afisa Mwandamizi Masoko na Mawasiliano, kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akitoa elimu ya fedha kuhusu Uwekezaji un...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Dini ya Kiislamu, ...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Franci...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mwandishi wa Habari Mbobevu Mariam Hamdani kwenye haf...
-
Mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki unaoendelea katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodo...
-
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. ...
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 18 Mkuta...
-
Viongozi wa kikao cha Maafisa Waandamizi wa Sekta ya Afya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongoza majadiliano ya kikao hicho kinachofanyi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE. - Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi Dodoma amekagua ...12 hours ago
-
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) - Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na kupunguza ut...1 day ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl6 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
Ahsante kaka yetu Othman kwakutuletea habari na pic ha za Nyumbani.. Picha nzuri, lakini kasoro yake nikuona kwamba Majengo ya nyumba nyingi ( hata kama yako katika viwanja vya Plan).. Lakini nyumba hizi hazikujengwa ki plan ...
ReplyDeleteNyumba nyingi ni Nzuri lakini ikiwa nyumba zitakosa mpangilio wa plan ( yaaani kufuata line moja na kuelekeana... Basi hata nyumba hizo ziwe nzurri vipi, zikichukuliwa picha juu ya anga huonekana kama Vituturi au kwa lugha za wenzetu zinaitwa "Ghetto".
Na hizi nyumba za Unguja na Permba zote zinaonekana kuwa na mandhari za kighetto...
Nakumbuka kabla ya mapinduzi mtu akitaka kujenga ni lazima afuate mapimo ya ardhi na upimaji.. Na hata kama kiwanja ni chake chote basi ni lazima nyumba hizo ziwe na nafasi kubwa yakupita gari za TAX au Ambulance... Na ndivo ilivokua katika mitaa yetu ya Muembe Shauri, Miembeni .. Lakini baada ya Mapinduzi mwenye kupindua na mwenye Nguvu au mkubwa katika ngazi za serikali ndie anaekiuka sheria..
leo hii ukipita mtaa wa muembe rikunda zile sehemu zakupita gari zote zimeibiwa ibiwa na watu wenye majengo yao.