Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Ndg. Mustafa Ali Garu,wa kwanza kulia mweye kofia akijumuika na Mafunzi wa ZAWA katika zoezi hilo la kutengeneza miundombinu ya maji kwa wananchi wa mji mkongwe.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Mwinyi Amewataka Wananchi Kuendeleza Amani kwa Maendeleo ya Nchi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya
Msi...
24 minutes ago

Hongereni wana Mamlaka ya Maji, endeleeni kuchapa kazi nasi tunathamini juhudi zenu. Iko siku Zanzibar itaondokana kabisa na matatizo ya maji. Tunathamini sana juhudi, ari na utendaji wenu, tuko pamoja.
ReplyDelete