Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Ndg. Mustafa Ali Garu,wa kwanza kulia mweye kofia akijumuika na Mafunzi wa ZAWA katika zoezi hilo la kutengeneza miundombinu ya maji kwa wananchi wa mji mkongwe.
DCEA:TUMEDHIBITI DAWA ZA KULEVYA SASA WAMEHAMIA KATIKA ULEVI WA POMBE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema
Tanzania imefanya kazi kubwa katika kupambana na dawa za k...
37 minutes ago
1 Comments
Hongereni wana Mamlaka ya Maji, endeleeni kuchapa kazi nasi tunathamini juhudi zenu. Iko siku Zanzibar itaondokana kabisa na matatizo ya maji. Tunathamini sana juhudi, ari na utendaji wenu, tuko pamoja.
ReplyDelete