Habari za Punde

Jumuiya ya Kiislam ya Muzdalifat watoa Sadaka ya Ramadhani Zanzibar.

Jumuiya ya Kiislamu ya Muzdalifat wakishirikiana na Taasisi ya Wefa kutoka Ujarumani wakipeleka Sadaka kwa watu mbalimbali wasiojiweza kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Kijiji cha Tazari Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Mmoja kati ya Wazee wa kijiji cha Kilimani Tazari akipokea Sadaka iliotolewa na Jumuiya ya Kiislamu ya Muzdalifat wakishirikiana na Taasisi ya WEFA kutoka Ujarumani kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Zanzibar.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.