MSHAMBULIAJI wa timu ya Umeme ya Kiuyu Hamad
Muhidini akiwatoka walinzi wa timu ya Super Falcon, katika mchezo wa ligi
daraja la pili taifa Pemba mchezo uliopigwa katika uwanja wa Ngerengere Umeme
ilishinda 1-0,(Picha na Ameir Khalid, PEMBA).
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment