MSHAMBULIAJI wa timu ya Umeme ya Kiuyu Hamad
Muhidini akiwatoka walinzi wa timu ya Super Falcon, katika mchezo wa ligi
daraja la pili taifa Pemba mchezo uliopigwa katika uwanja wa Ngerengere Umeme
ilishinda 1-0,(Picha na Ameir Khalid, PEMBA).
STEVE NYERERE: DARAJA LA JAMII NA MWANAHARAKATI WA MAENDELEO
-
Steven Waiton Mengele almaarufu kama SteveNyerere2 ni Mwenyekiti wa Taasisi
ya Mama Ongea na Mwanao na Mdau wa maendeleo katika shughuli za kijamii
ku...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment