MSHAMBULIAJI wa timu ya Umeme ya Kiuyu Hamad
Muhidini akiwatoka walinzi wa timu ya Super Falcon, katika mchezo wa ligi
daraja la pili taifa Pemba mchezo uliopigwa katika uwanja wa Ngerengere Umeme
ilishinda 1-0,(Picha na Ameir Khalid, PEMBA).
Mradi wa PACSMAC Wabainisha Suluhisho la Changamoto za Tabianchi kwenye zao
la Kahawa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imejipanga kuwezesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji katika zao la kahawa, kwa lengo la ku...
3 hours ago
0 Comments