MSHAMBULIAJI wa timu ya Umeme ya Kiuyu Hamad
Muhidini akiwatoka walinzi wa timu ya Super Falcon, katika mchezo wa ligi
daraja la pili taifa Pemba mchezo uliopigwa katika uwanja wa Ngerengere Umeme
ilishinda 1-0,(Picha na Ameir Khalid, PEMBA).
BALOZI DKT. NCHIMBI AAGANA NA SIMIYU KWA KISHINDO AKIELEKEA SHINYANGA
KUSAKA KURA ZA USHINDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa
wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi
Dkt. Emmanuel Joh...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment