Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
DC NYAMWESE:KITUO CHA KUPOOZA UMEME HANDENI KULETA MAPINDUZI YA UWEKEZAJI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, ameridhishwa na kasi ya
utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umeme (sub...
6 hours ago
1 Comments
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete