Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
BoT: Mifumo ya Malipo Ni Msingi wa Ukuaji wa Uchumi Jumuishi
-
Naibu Gavana, Dkt. Yamungu Kayandabila, akijadiliana jambo na Profesa
Zhiguo He kutoka Chuo Kikuu cha Stanford Marekani, baada ya ziara ya
wanafunzi wa ch...
1 hour ago
1 Comments
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete