Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
4 hours ago
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete