Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Zimamoto na Kilimani City Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Zimamoto Imeshinda 3--0.

 Wachezaji wa Timu ya Zimamoto na Kilimani Cty wakiwania mpira, wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika jioni leo Timu ya Zimamoto imeshinda 3--0. dhidi ya Timu ya Kilimani City. 
Beki wa Timu ya Kilimani City Nurdin Bakar akimiliki mpira huku mshambuliaji wa timu ya Zimamoto akijaribu kumfuata. 
 Golikipa wa Timu ya Zimamoto akiokoa moja ya hatari golini kwake huku mshambuliaji wa Timu ya Kilimani City Ibrahim Ali akiwa tayari kuchukua mpira, katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Zimamoto imeshinda 3--0


 Mshambuliaji wa Timu ya Kilimani City Ibrahim Ali akimpita beki wa Timu ya Zimamoto Yussuf Ramadhani.wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya zanzibar uliofanyika uwanja wa amaan timu ya Zimamoto imeshinda 3--0. 
Mshambuliaji wa Timu ya Kilimani City Ibrahim Ali akimpita beki wa Timu ya Zimamoto Yussuf Ramadhani.
 Benchi la ufundi la Timu ya Kilimani City wakiwa na simanzi baada ya timu yao kufungwa katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Zanzibar kwa bao 3--0. mchezo uliofanyika uwanja wa amaan Zanzibar.
 Beki wa Timu ya Zimamoto Yussuf Ramadhani akimzuiya mshambuliaji wa Timu ya Kilimani City mwenye mpira Juma Abdallah, Timu ya Zimamoto imeshinda bao 3--0 
Mshambuliaji wa timu ya Kilimani City akimpita beki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan jioni hii. (2-12-2016) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.