Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Waziri wa Habari ,Vijana, Utamaduni na Michezo akizindua Mashindano ya Baskeli yalioshirikisha nchi mbali mbali za Afrika Mashariki pamoja n...
-
Balozi wa Tanzania Nchini Msumbiji Mhe. Balozi CP Hamad Khamis Hamad alikutana na Mshauri wa Rais wa Msumbiji katika Masuala ya Uchumi na Ma...
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia kinywaji cha chai cha asili kutoka China, wakati alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo da Vinci...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa mkutano wa Hoteli ya Golden Tulip...
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema katika kuhakikisha matumizi mazuri ya ardhi na makaazi yanafikiwa ni ...
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiweka shada la maua alipozuru kaburi la Rais wa Awamu ya Tan...
-
Taswira ya chanzo cha maji Butimba pamoja na Mtambo wa kutibu maji katika eneo la Butimba mkoani Mwanza. Mradi huo wa maji Butimba umezindul...
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro(MUM), alipomwakilisha Rais...
Home
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Mhe Philip Magula Akutana na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika.
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Mhe Philip Magula Akutana na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika.
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Phili Mangula akikmkaribisha Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings, kwa ajili ya mazungumzo, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga. na katikati na Maofisa Waandamizi wa Taasisi hiyo.
Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings akisaini kitabu cha wageni
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akizungumza na Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings
Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings akimfafanulia jambo, Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula wakati wa mazungumzo hayo
Mazungumzo yakiendelea
Mazungumzo yakiendelea
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara PhilipMangula akifafanua jambo
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akiteta jambo na Ofisa mipango mkazi wa NDI, Nahija Dodd wakati wa mazungumzo hayo
Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings akimfafanulia Mzee Mangula moja ya kazi za NDI
Mkurugenzi wa Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani (NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings akimuaga Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula, baada ya mazungumzo yao.
Wakifurahi baada ya mazungumzo
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara akimuaga Mahija
Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara- Philip Mangula akiagana na Mkurugenzi Mkazi wa NDI Sandy Quimbaya baada ya mazungumzo
Ugeni ukiondoka
Ugenni ukiondoka
Mama Chintika akiuaga ugeni wakati ukiondo. Picha na Bashir Nkoromo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Mhe.Majaliwa Ameagiza Usimamiaji na Udhibiti wa Ubora wa Elimu - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro(MUM), alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Sul...3 days ago
-
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha Ulinzi na msaada wa wakimbizi - Mwandishi Wetu , Dar Es Salaam. Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) wamesaini makubaliano mapya ya u...4 days ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
No comments:
Post a Comment