Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi ajumuika na wananchi katika kusaidia na kukarabati nyumba zilizoharibika

 Mkuu wa mkoa wa mjini magharibi RC Ayoub Mahmoud akibeba kipolo cha mchele yeye mwenyewe wakati akiendea kuvikabidhi kwa familia zililoathirika na maafa ya mvua
  Mkuu wa mkoa wa mjini magharibi RC Ayoub Mahmoud akiwa pamoja na mafundi kukarabati paa la moja ya nyumba iliyoathirika na maafa ya mvua na upepo mkali hivi karibuni



1 comment:

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.