MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimpa mkono wa Eid El Fitri mmoja wa Wazee wanaoishi katika Kijiji chiji cha Wazee Welezo Zanzibar Bi. Saada alipofika kuwatembelea na kuwajulia hali na kutowa mkono wa Eid Fitri kwa wazee hao wanaoishi katika kijiji hicho cha welezo Zanzibar. wanaoishi wazee wasiojiweza 
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,
akimpa mkono wa Eid Fitri Mzee wa Kijiji cha Wazee Welezo Rashid Salum
(Kassika) alipofika kutowa mkono wa Eid kwa Wazee hao
MZEE
wa Nyumba za Wazee Sebleni Bi. Asaa Ali Issa akitowa neon la shukrani kwa Mke
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, alipofika kuwatembelea na kuwapa
mkono wa Eid Fitri katika makaazi yao sebleni Zanzibar.
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akitowa mkono wa Eid Fitri kwa
Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa alipofika kuwatembelea na kutowa mkono wa Eid
Fitri kwa watoto hao
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa amemchukuwa Mtoto aliyetupwa
katika kijiji cha Bungi Wilaya ya Kati Unguja
amepewa jina la Wahida Abdalla akiwa na miezi (4) kushoto Mke wa Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na kulia Waziri wa Kazi Vijana na Uwezeshaji Wazee na Wanawake
na Watoto Mhe. Moudline Castico.
MKE
wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akitowa mkono wa Eid El Fitri kwa
Watoto wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar
No comments:
Post a Comment