Baadhi ya waheshimiwa masheha waliohudhuria katika semina ya mafunzo baada ya kuapishwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja
Sheha wa Shehia ya Mnazi mmoja Mohd Juma Mugheri akiuliz maswali katika semina ya mafunzo kwa masheha baada ya kuapishwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja
Baadhi ya waheshimiwa masheha waliohudhuria katika semina ya mafunzo kwa masheha baada ya kuapishwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja
Mkufunzi kutoka Chuo cha Diplomasia Dare es Salaam Salim Othman Hamad akitoa mafunzo katika Semina ya masheha katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Unguja
PICHA NA YUSSUF SIAMI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment