Rais wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akihutubia Wananchi wa eneo la Stendi ya Mabasi
Msamvu Mkoani Morogoro waliokuwa
wamejitokeza kumsalimia akitokea Mkoani
Dodoma Julai
27,2917.
Rais wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akimsikiliza Bi Maria Gabrieli
aliyemweleza Mh Rais Juuu ya kero za wafanyabiasahara ndogondogo wa Stendi ya
Mabasi Msamvu Mkoani Morogoro
kunyanyaswa
Rais wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akimsikiliza Bi Halima Alli aliyemweleza
Mh Rais Juuu ya kero za wafanyabiasahara ndogondogo wa Stendi ya Mabasi
Msamvu Mkoani Morogoro kunyanyaswa
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment