Katibu
wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu,Seperatus Fella,
akizungumza kwenye mkutano uliowakutanisha
wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na
Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu,lengo ikiwa ni kupitia Sheria
mbalimbali zinazosimamia biashara hiyo.Wengine ni Mwenyekiti wa kamati hiyo ()
na Mkurugenzi Mradi wa kuzuia biashara hiyo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya RTI,Dk.
Lyungai Mbilinyi.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi
la Polisi,jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi
Mradi wa Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu kutoka Taasisi ya Kimataifa ya
RTI,Dk. Lyungai Mbilinyi,akizungumza kwenye mkutano uliowakutanisha wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa
ya Kuzuia na Kupambana na Biashara hiyo,lengo ikiwa ni kupitia Sheria
mbalimbali zinazosimamia biashara hiyo.Wengine ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, na Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu,Seperatus Fella.Mkutano
huo umefanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es
Salaam
Mjumbe
wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu
ya Usafirishaji Binadamu,akizungumza wakati wa mkutano wa kupitia Sheria mbalimbali zinazosimamia
biashara hiyo.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,jijini Dar es Salaam
Mmoja kati ya wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu,Bi Nasima Chum akizungumza wakati wa Kikao cha
kupitia Sheria inayosimamia biashara hiyo. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi
la Polisi, jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu,wakiwa katika majadiliano wakati wa Kikao
cha kupitia Sheria inayosimamia biashara hiyo. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi
la Polisi,jijini Dar es Salaam.
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
No comments:
Post a Comment