Habari za Punde

TCRA Yatowa Elimu kwa Waandishi wa Habari Pemba.

Kaimu Naibu Mkurugenzi wa maendeleo ya ‘TEHAMA’ kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ‘TCRA’ Mhandishi Nehemia Mwenisongole akielezea namna ambavyo, mteja wa kampuni moja ya simu anavyoweza kuhama kutoka kampuni hiyo na kuhamia nyengine kwa namba yake ile ile ya simu, wakati akizungumza na waandishi wa habari kisiwani Pemba
NAIBU Mkurugenzi kuhusu masuala ya huduma na bidhaa za mawasiliano, kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ‘TCRA’ Thadayo Ringo, akielezea hatua za kufanya kabla ya mteja kuhama mtandao mmoja kwenda mwengine, akitumia namba yake ile ile ya mtandao anaohama, mkutano huo ulifanyika kisiwani Pemba, hivi karibuni
MWANDISHI wa sauti ya Istiqama Salum Ali Msellem, akiwaongoza waandishi wa habari wenzake kuomba dua maalum kwa Muumba, ili wazo lao la kuanzisha mfuko wa wanahabari wa kujiendeleza kielimu lifanikiwe, kikao hicho kilifanyika PPC mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).    

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.