Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bibi Patrica Baroness Scotland alipofika Ikulu Mjini Unguja leo akiwa na ujumbe aliofuatana nao katika ziara ya siku moja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bibi Patrica Baroness Scotland alipofika Ikulu Mjini Unguja leo akiwa katika ziara ya siku moja na ujumbe aliofuatana nao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bibi Patrica Baroness Scotland (wa pili kulia) alipofika Ikulu Mjini Unguja leo akiwa katika ziara ya siku moja na ujumbe aliofuatana nao,(katikati) Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Dr.Asha-Rose Migiro
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bibi Patrica Baroness Scotland (katikati) wakiwa katika mazungumzo pamoja na ujumbe aliofuatana nao Katibu huyo wakiwepo na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,ujumbe huo ulipofika nchini kwa ziara ya kutwa moja,[Picha na Ikulu.] 11/08/2017.
No comments:
Post a Comment