Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Mauritius Dk.Ameenah Gurib-Fakim alipofika Ikulu Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na mgeni wake Rais wa Mauritius Dk.Ameenah Gurib-Fakim alipofika Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 28/08/2017.
No comments:
Post a Comment