Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana na Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe Maudline Castico akiwasili katika ukumbi wa mkutano na kutembelea maonesho ya Vijana wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
Waziri Castico akipata maelezo wakati akitembelea maonesho hayo.
FCC YAWAVUTIA WAWEKEZAJI KWENYE MAONESHO YA IATF NCHINI ALGERIA
-
Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia
uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika (Intra
African T...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment