Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana na Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe Maudline Castico akiwasili katika ukumbi wa mkutano na kutembelea maonesho ya Vijana wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
Waziri Castico akipata maelezo wakati akitembelea maonesho hayo.
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji
Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka
2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment