Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana na Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe Maudline Castico akiwasili katika ukumbi wa mkutano na kutembelea maonesho ya Vijana wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
Waziri Castico akipata maelezo wakati akitembelea maonesho hayo.
BODI MPYA TFS YAANZA KAZI RASMI, YAPOKEA MPANGO WA BIASHARA 2026/2027
-
Morogoro
Bodi ya Tano ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania
(TFS) imeanza rasmi majukumu yake kwa kufanya kikao cha 47 cha Bodi,
...
26 minutes ago
0 Comments