Profesa Alamin Mazrui akiwasilisha Mada yake katika Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika Zanzibar akiwasilisha Mada inayozungumzia Katika Dira ya Afrika Mashariki. Anatowa Taaluma ya Utamaduni katika Chuo Kikuu cha RutgersAmerikan
Progfesa Alamin Mazrui akisisitiza jambo wakati akitowa Mada katika Kongamano la Kwanza la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Zanzibar.
No comments:
Post a Comment