Habari za Punde

Kongamano la siku ya kimataifa, ya kupinga adhabu ya kifo lafanyika kisiwani Pemba

 WANANCHI mbali mbali na wadau wengine wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakifuatilia kongamano la siku ya kimataifa, ya kupinga adhabu ya kifo, lililofanyika ukumbi wa Jeshi la Polisi, wilaya ya Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
 WANANCHI mbali mbali na wadau wengine wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakifuatilia kongamano la siku ya kimataifa, ya kupinga adhabu ya kifo, lililofanyika ukumbi wa Jeshi la Polisi, wilaya ya Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba)

 MWANASHERIA dhamana wa Afisi ya Mkurugenzi wa mashitaka kisiwani Pemba, Ali Rajab Ali akiwasilisha mada kwenye kongamano la siku ya kupinga adhabu ya kifo, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba na kufanyika ukumbi wa mikutano wa Jeshi la Polisi wilaya ya Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MTENDAJI wa Jeshi la Polisi mkoa wa kusini Pemba Mohamed Maalim, akiomba ufafanuzi wa jambo, kwenye kongamano ya kupinga adhabu ya kifo, lililoandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ukumbi wa Jeshi la Polisi wilaya ya Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MJUMBE wa bodi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, Daud Othman Kondo, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku ya kupinga adhabu ya kifo, lililofanyika ukumbi wa Jeshi la Polisi wilaya ya Chakechake, kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WATENDAJI wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakiongozwa na mjumbe wao wa bodi Daud Othaman Kondo, wakiwa katika picha ya pamjo na wasanii wa kampuni ya Jufe Film Production ya Wete, mara baada ya kumalizika kwa kongamano la kupinga adhabu ya kifo, lililofanyika ukumbi wa Jeshi la Polisi wilaya ya Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.