Mahafali ya 16 ya Skuli ya SOS Zanzibar Yafana Kwa Michezo Mbalimbali Iliooneshwa na Wanafunzi wa Kindergaten Wakati wa Hafla Hiyo Iliofabnyika Katika Ukumbi wa Skuli Hiyo.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan akimkabidhidhi zawadi mmoja wanafunzi wa skuli hiyo wakati wa hafla ya mahafali ya 16 yaliofanyika katika viwanja vya skuli hiyo ilioka katika Kijiji cha SOS mombasa Zanzibar.
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
0 Comments