Habari za Punde

Orodha ya Makampuni ya Simu Yaliotimiza Agizo la Rais Dkt.John Magufuli Kujiunga na Mfumo wa E-RCS

Kampuni za Smile Tanzania, Smart na Vodacom ndio kampuni pekee za simu ambazo hazijatii agizo la Mhe. Rais la kujiunga na Mfumo wa Kulipa Kodi Kielektroniki.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.