Habari za Punde

ZAECA yaongea na wafanyakazi wa Wizara ya Habari , Utalii na Michezo Ofisi kuu Pemba

 Baadhi ya Wafanyakazi wa Wizara hiyo kutoka Ofisi kuu Pemba, wakimsikiliza kwa makini Mdhamini huyo juu ya sheria mbali mbali juu ya Idara hiyo .


  Baadhi ya Wafanyakazi wa Wizara hiyo kutoka Ofisi kuu Pemba, wakimsikiliza kwa makini Mdhamini huyo juu ya sheria mbali mbali juu ya Idara hiyo

Mdhamini  wa Idara ya Kupambana na Rushwa na  Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), Mkoa wa Kusini Pemba, Suleiman Juma  Amme, akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari , Utalii na Michezo walioko Ofisi kuu Pemba, juu ya  Sheria ya mambo mbali mbali yanyohusiana na uhujumu Uchumi, kuliani kwake ni Ofisa Elimu kwa Umma kutoka Idara hiyo , Futari Mzee Ali  na kuliani kwake ni Mkuu wa Utawala na Uendeshaji wa Wizara hiyo  Alhaji, Moh'd Juma Rashid,


PICHA NA HABIBA ZARALI -PEMBA.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.