Habari za Punde

Askofu Shao aongoza ibada ya mkesha wa Krismasi

 Askofu wa kanisa laKatoliki jimbo la Zanzibar, Augustino Shao (mwenye fimbo) akiingia kwenye kanisa
 la Mtakatifu Joseph kuongoza Ibada ya mkesha wa Krismas jana.
  Askofu Shao akitoa ujumbe wa Krismasi kwenye mkesha huo jana.
  Baadhi ya waumini waliohudhuria Ibada ya mkesha wa Krismasi wakimsikiliza Askofu Shao.
 Waumini wakiwa katika foleni kutembelea pango alikozaliwa mtoto Yesu kwenye mkesha wa Krismasi jana.
Mkuu wa mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Ayoub Mohamed (pichani) alitembelea kanisa hilo akifuatana na baadhi ya wakuu wa vyombo vya ulinzi kuangalia usalama kwenye mkesha huo ambapo alipata fursa ya kuongea na waumini wa kanisa hilo

Picha zote na Martin Kabemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.