MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akikagua ujenzi wa skuli ya Sekondari
Micheweni, akiwa amefuatana na viongozi mbali mbali wakiwemo Naibu waziri wa
elimu na waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipata maeleo ya ujenzi wa skuli
mpya ya Sekondari ya Micheweni, kutoka kwa mmoja ya maijinia wa Wizara ya
Elimu, ikiwa mwendelezo wa ziara yake ya Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akishiriki ujenzi wa skuli ya
Sekondari Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake
Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
MUONEKANO wa baadhi ya
madarasa yanayoendelea kujengwa katika skuli ya Sekondari Micheweni, kama
yanavyoonekana katika picha wakati wa ziara ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Naibu waziri wa Afya
Harous Said Suleiman, wakati alipowasili katika uwanja wa Shamemata kuzungumza
na wananchi wa Wilaya ya Micheweni katika ziara yake ya Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WANAFUNZI wa Skuli ya
Sekondari na Msingi Micheweni, wakisikiliza kwa makini hutuba ya Makamu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed katikati na kushoto ni Naibu waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Injinia Hamad Yussuf masauni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
NAIBU waziri wa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mmanga Mjengo Mjawiri, akutoa maelezo ya
Wizara ya elimu juu ya mikakati yake katika utekelezaji wa Ilani ya CCM, kwa
makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, baada ya
kuwasili katika uwanja wa Shamemata Micheweni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed, akizungumza na
wananchi wa Micheweni katika uwanja wa Shamemata, wakati wa ziara ya Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi wa Wilaya ya
Micheweni katika mkutano wa dhara uliofanyika kiwanja wa Cha Shamemata.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea zawadi ya Mikoba kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Pemba, wakati apomalizia kuzungumza na wananchi wa
Micheweni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipokea zawadi ya Makawa kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Pemba, wakati apomalizia kuzungumza na wananchi wa
Micheweni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment