Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi amekutana na kufanya mazugumzo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bw. Said Hassan Said. Katika mazungumzo yao viongozi hao wamebadilishana mawazo ya namna ya kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku yanayosimamia masuala ya sheria na utaoaji haki. Pichani Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Bw. Said Hassan Said akimkabidhi Dk. Adelardus Kilangi Katiba ya Zanzibar ( picha na Ofisi ya AG
JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WAGONJWA WA UKOMA
-
Na WAF, Dodoma
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana
potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viash...
59 minutes ago
0 Comments