Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi amekutana na kufanya mazugumzo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bw. Said Hassan Said. Katika mazungumzo yao viongozi hao wamebadilishana mawazo ya namna ya kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku yanayosimamia masuala ya sheria na utaoaji haki. Pichani Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Bw. Said Hassan Said akimkabidhi Dk. Adelardus Kilangi Katiba ya Zanzibar ( picha na Ofisi ya AG
REA YAWASHA UMEME KWENYE SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI MTWARA
-
Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa nyakati tofauti wamewasha
umeme katika Shule ya Msingi Julia Wilayani Newala na Shule ya Sekondari
Mbawal...
55 minutes ago

No comments:
Post a Comment