Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi amekutana na kufanya mazugumzo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bw. Said Hassan Said. Katika mazungumzo yao viongozi hao wamebadilishana mawazo ya namna ya kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku yanayosimamia masuala ya sheria na utaoaji haki. Pichani Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Bw. Said Hassan Said akimkabidhi Dk. Adelardus Kilangi Katiba ya Zanzibar ( picha na Ofisi ya AG
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira Kuinua Uchumi na Usalama wa Usafiri
Ruvuma
-
Belinda Joseph- Ruvuma.
Ujenzi wa Barabara ya Songea–Lutukira yenye urefu wa Km 95.1 pamoja na
Bypass ya Songea yenye Km 16, unatarajiwa kuleta manuf...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment