Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi amekutana na kufanya mazugumzo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bw. Said Hassan Said. Katika mazungumzo yao viongozi hao wamebadilishana mawazo ya namna ya kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku yanayosimamia masuala ya sheria na utaoaji haki. Pichani Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Bw. Said Hassan Said akimkabidhi Dk. Adelardus Kilangi Katiba ya Zanzibar ( picha na Ofisi ya AG
MULIRO AKABIDHI ASKARI WA KIKE BENDERA KWA NIABA YA IGP KWENDA SCOTLAND.
-
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Jumanne Muliro amewakabidhi bendera ya Taifa
askari wa kike k...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment