Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan Mohammed Sheikhan,akimkabidhi msaada wa Vyakula kwa Watoto wanaoishi katika mazingira Magumu Kisiwani Pemba,kuelekea siku ya Mtoto wa Afrika Dunaini ambayo siku hiyo huadhimishwa kila ifikapo JUNI 16 ya kila mwaka, jeshi la polisi Mkoa wa kusini Pemba, limelazimika kutoa msaada wa chakula kwa watoto 30 mayatima, wanaoishi katika amzingira magumu na walemavu, kupitia dawati la jinsia la watoto
JAB kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi-Wakili Kipangula
-
Na Mwandishi wetu, JAB.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili
Patrick Kipangula amesema mbali na kutekeleza majukumu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment