Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan Mohammed Sheikhan,akimkabidhi msaada wa Vyakula kwa Watoto wanaoishi katika mazingira Magumu Kisiwani Pemba,kuelekea siku ya Mtoto wa Afrika Dunaini ambayo siku hiyo huadhimishwa kila ifikapo JUNI 16 ya kila mwaka, jeshi la polisi Mkoa wa kusini Pemba, limelazimika kutoa msaada wa chakula kwa watoto 30 mayatima, wanaoishi katika amzingira magumu na walemavu, kupitia dawati la jinsia la watoto
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment