Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan Mohammed Sheikhan,akimkabidhi msaada wa Vyakula kwa Watoto wanaoishi katika mazingira Magumu Kisiwani Pemba,kuelekea siku ya Mtoto wa Afrika Dunaini ambayo siku hiyo huadhimishwa kila ifikapo JUNI 16 ya kila mwaka, jeshi la polisi Mkoa wa kusini Pemba, limelazimika kutoa msaada wa chakula kwa watoto 30 mayatima, wanaoishi katika amzingira magumu na walemavu, kupitia dawati la jinsia la watoto
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment