Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba Sheikhan Mohammed Sheikhan,akimkabidhi msaada wa Vyakula kwa Watoto wanaoishi katika mazingira Magumu Kisiwani Pemba,kuelekea siku ya Mtoto wa Afrika Dunaini ambayo siku hiyo huadhimishwa kila ifikapo JUNI 16 ya kila mwaka, jeshi la polisi Mkoa wa kusini Pemba, limelazimika kutoa msaada wa chakula kwa watoto 30 mayatima, wanaoishi katika amzingira magumu na walemavu, kupitia dawati la jinsia la watoto
YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA AL AHLY
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri,
mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Z...
1 hour ago






0 Comments