Maalim Seif Nassor Mohammed Al Harthiy (Seif Mshumaa) amefariki maziko yake yatafanyika Michenzani Jumba namba 6 Alaasiri. Alizaliwa 6/6/1936. Aliwahi kuwa Mwalimu, Producer Manager wa Televishion Zanzibar (TVZ) na Mwanasiasa na pia Mwanasoka maarufu aliyeshinda katika mashindano mbali mbali. Maelezo yake mengine hapa chini.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment