Maalim Seif Nassor Mohammed Al Harthiy (Seif Mshumaa) amefariki maziko yake yatafanyika Michenzani Jumba namba 6 Alaasiri. Alizaliwa 6/6/1936. Aliwahi kuwa Mwalimu, Producer Manager wa Televishion Zanzibar (TVZ) na Mwanasiasa na pia Mwanasoka maarufu aliyeshinda katika mashindano mbali mbali. Maelezo yake mengine hapa chini.
DKT AKWILAPO ATAKA MAENEO YA UMMA KULINDWA
-
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
akizungumza na uongozi wa mkoa wa Mtwara wakati wa ziara yake mkoani humo
tarehe ...
28 minutes ago


0 Comments