Maalim Seif Nassor Mohammed Al Harthiy (Seif Mshumaa) amefariki maziko yake yatafanyika Michenzani Jumba namba 6 Alaasiri. Alizaliwa 6/6/1936. Aliwahi kuwa Mwalimu, Producer Manager wa Televishion Zanzibar (TVZ) na Mwanasiasa na pia Mwanasoka maarufu aliyeshinda katika mashindano mbali mbali. Maelezo yake mengine hapa chini.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment