Mafundi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA wakiwa katika zoezi la kuunganisha bomba la maji safi na salama lililopasuka katika eneo la maisara kutokana na kuchakaa kwake na kubadilisha kwa kuweka jipya ili kuendelea kutowa huduma ya maji kwa wateja wao wa maeneo ya kikwajuni na maeneo ya mji mkongwe.Bomba hilo limeunganishwa miaka mingi wakati wa maonesho yaliofanyika katika viwanja maisara kizingo ili kutowa huduma kwa wananchi wanaofika katika maonesho wakati huo.
RAIS MAHAMA AWATAKA WAHASIBU WA NCHI ZA AFRIKA KUSIMAMIA IPASAVYO MATUMIZI
YA FEDHA ZA UMMA
-
Mhasibu Mkuu wa Serikali, CPA. Leonard Mkude, akifuatilia hotuba ya Rais wa
Jamhuri ya Ghana, Mhe. John Dramani Mahama (hayupo pichani), wakati
akifungu...
42 minutes ago
0 Comments