Habari za Punde

Yanga Yaibuka Mshindi Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ya Bao 1-0 Dhidi ya Timu ya AS Far Rabat ya Morocco Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar

Kiungo Mshambuliaji wa Timu ya Yanga Pacome Zouzoua akijiandaa kumpita beki wa Timu ya As Far Rabat wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliyofanyika  Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0 lililofungwa ma mshambuliaji Prince Dube, mchezo huo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.


 


























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.