MAKAMU wa Pili wa
Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia moja ya Sabuni za kuogea watoto,
zilizotolewa na Mfanya Biashara Maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor (Bopar) kwa
Hospitali ya Wete
OFISA Mdhamini Wizara
ya Afya Pemba Shadiya Shaban Seif, akimkabidhi dawa za watoto Daktari dhamana
wa Hospitali ya Wete Khamis Rashid Salum, zilizotolewa na Mfanya biashara
maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor (bopar), huku Makamu wa Pili wa Rais
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akishuhudia makabidhiano hayo
MAKAMU wa Pili wa
Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi Ofisa Mdhamini Wizara ya Afya
Pemba Shadiya Shaban Seif, mashine ya kusukumia maji iliyotolewa na Mfanya
biashara maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor (Bopar) kwa ajili ya Hospitali ya
Wete
MAKAMU wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi Afisa Mdhamini Wizara ya
Afya Pemba Shadiya Shaban Seif, moja ya magodoro yaliyotolewa na Mfanya
biashara maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor (Bopar) ambapo alitoa magodoro
100, mashuka 100, mito 95, dawa, sabuni na mashine ya maji kwa Hospitali ya
Wete
MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman
Iddi, akimkabidhi zawadi mmoja ya wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Wete,
msaada huo uliotolewa na Mfanya biashara Maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor
(bopar) kwa wagonjwa wa Hoapistali ya Wete
MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman
Iddi, akimkabidhi zawadi mmoja ya wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Wete,
msaada huo uliotolewa na Mfanya biashara Maarufu Zanzibar Said Nassir Nassor
(bopar) kwa wagonjwa wa Hoapistali ya Wete.
MAKAMU wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimjulia hali bibi Mwazume Bakari
aliyelazwa katika Wodi ya Wanawake ndani ya Hospitali ya Wete.
Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
No comments:
Post a Comment