Msikiti wa Maisara Zanzibar ukiwa katika hatua za mwisho yaUjenzi wake kama unavyoonekana picha ukiwa katika mazingira mazuri ya kupendeza baada ya kukamilika ujenzi huo katika hatua za mwazo. Msikiti huu ulikuwa mdogo na kupata ufadhili na kujengwa wa horofa moja na kuchukua waumini wengi katika Ibada ya Sala.
DKT. BITEKO ASEMA DKT. NCHIMBI NI CHAGUO SAHIHI NA MWALIMU WA WENGI
-
Asema Dkt. Nchimbi ni mtu mwema anayejua shida za watu
Mamia wajitokeza Kampeni za CCM Katoro
Asema Katoro hawana mbambamba, awaomba Oktoba kuchagua wag...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment