Msikiti wa Maisara Zanzibar ukiwa katika hatua za mwisho yaUjenzi wake kama unavyoonekana picha ukiwa katika mazingira mazuri ya kupendeza baada ya kukamilika ujenzi huo katika hatua za mwazo. Msikiti huu ulikuwa mdogo na kupata ufadhili na kujengwa wa horofa moja na kuchukua waumini wengi katika Ibada ya Sala.
MEYA MANISPAA YA KIBAHA AFUNGA VIWANDA VIWILI MISUGUSUGU KWA UCHAFUZI WA
MAZINGIRA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MSTAHIKI MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa amri ya
kufungwa kwa viwanda viwili kwa kosa la kutiririsha maji ...
23 minutes ago



0 Comments