Msikiti wa Maisara Zanzibar ukiwa katika hatua za mwisho yaUjenzi wake kama unavyoonekana picha ukiwa katika mazingira mazuri ya kupendeza baada ya kukamilika ujenzi huo katika hatua za mwazo. Msikiti huu ulikuwa mdogo na kupata ufadhili na kujengwa wa horofa moja na kuchukua waumini wengi katika Ibada ya Sala.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment