Msikiti wa Maisara Zanzibar ukiwa katika hatua za mwisho yaUjenzi wake kama unavyoonekana picha ukiwa katika mazingira mazuri ya kupendeza baada ya kukamilika ujenzi huo katika hatua za mwazo. Msikiti huu ulikuwa mdogo na kupata ufadhili na kujengwa wa horofa moja na kuchukua waumini wengi katika Ibada ya Sala.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment